Tunaposema ccm ni muflis huwa tunamaanisha ni muflis kweli kweli! Mbatia na Poropesa alopumbaa kwenye ulingo wa siasa tulishawasahau kitambo, kwaio kuwatumia watu hawa na kudhani mumepata silaha ya kuwadhiti wapinzani kwa hakika mumeishiwa.

12 87